Configure HTML/JavaScript Fire & Rescue Singida Official Blog

Monday, July 22, 2013

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Singida leo limeendelea kufanya maokozi eneo la peoples singida mjini baada ya gari ya MOHAMEDI TRANS yenye namba za Usajili T210APK likitokea Dodoma kuelekea Mwanza na  kupata ajali eneo hilo,
Mashahidi wa Tukio hilo wamesema ni kusuka kwa Tairi ya mbele kulia ya Gari hiyo,hakuna kifo kilichotokea ila nimajeruhi kidogo ,ila kiujumla hakuna madhara makubwa.


Hapa angalia moja ya Video ya abiria waliokuwa wakisafiri na gari hiyo:
Ushauri:Kaimu kamanda Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Singida ameshauri madereva kuwa makini pindi wanapoendesha vyombo vya moto hasa wanapopakia abiria.

No comments:

Post a Comment