Jeshi la zimamoto Mkoa Singida latoa rai kwa wananchi kuitumia namba ya 114 kwa faida ya jamii na si vingenevyo,Alikaririwa kamanda wa Mkoa(RFO) Hamisi M Rutengo wa Mkoa Singida akiwambia wananchi katika kikao na wafanyabiashara kilichofanyika katika kituo cha waalimu nyerere Mkoa wa Singida