Configure HTML/JavaScript Fire & Rescue Singida Official Blog

Friday, August 21, 2015

Jeshi la zimamoto Mkoa Singida latoa rai kwa wananchi kuitumia namba ya 114 kwa faida ya jamii na si vingenevyo,Alikaririwa kamanda wa Mkoa(RFO) Hamisi M Rutengo wa Mkoa Singida akiwambia wananchi katika kikao na wafanyabiashara kilichofanyika katika kituo cha waalimu nyerere Mkoa wa Singida

No comments:

Post a Comment