Tatizo la majanga ya moto kwenye Jamii kutodhibitiwa kwa wakati au mapema..................Wanaochangia hili ni wananchi wenyewe kwa kiasi kikubwa kwa sehemu ndogo sana lawama tunaweza peleka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwamaana hatutoi taarifa kwa wakati kwa Jeshi la Zimamoto.JADILI!!!!!!!!!!!!! Na Sgt H.J.Mtengevu-Kaimu Afisa Habari na Elimu kwa Umma Mkoa wa Singida.
No comments:
Post a Comment