Configure HTML/JavaScript Fire & Rescue Singida Official Blog

Thursday, August 8, 2013

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Singida yaendelea na FATIKI ya kutengeneza na kurekebisha maeneo ya kambi yao iliyopo karakana -Singida Mjini.
Moja wapo ya jambo ambalo limenivutia ni ubunifu wa kuweka Nembo ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji chini ya ardhi eneo la wazi,Kwa kufanya ubunifu kama huu wanastyle pongezi .
Hata hivyo hapa wameonesha hisia zao na mapenzi juu ya Jeshi lao la Zimamoto na Uokoaji.
Karibu Kwenye kambi ya Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Singida Uone majabun zaidi ya kiubunifu.
 Askari Badi Mingange akiendelea na Zoezi la kulinganisha kingo za maneno hayo(JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI)(SQUARE)
 Hapa ni baadhi la maneno yanayokamilisha neno JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI ,yakiwa katika maandalizi ya mwisho tayari kupakwa rangi.

Sgt Bahati akitoa baadhi ya maelekezo ya namna gani wafanye ili kuboresha muonekano wa Neno hilo hapo chini.
HAPA ANGALIA VIDEO JINSI ZOEZI HILO LILIVYOENDESHWA:










Haya mwanchi toa maoni yako juu ya hili
walilofanya Jeshi la Zimamoto na uokoaji mkoa wa Singida.

No comments:

Post a Comment